ADVERTS

LOGO

Search This Blog

Friday, September 7, 2012

NI KAWAIDA KWETU KUTEMBELEWA NA WAGENI

 Wanamuziki wa Kalunde Band hapa ni Bob Rudala na deo mwana mbilimbi wakiwa katika viwanja vya radio 5
 Meneja masoko wa Radio 5 Sarah  Lazaro(katikati) akiwa na Deo mwanambilimbi na  Bob rudala


 Huyu ndiye Deo Mwanambilimbi mwenye jezi ya Tanzania akiwa na Meneja masoko wa Radio 5.
 Sarah Lazaro akiwa na Bob Rudala aliyewahi kutamba na sjingo ya nimekuchagua wewe.
 David Rwenyagira akiwa na Bob rudala na Deo mwanambilimbi.
 Program Manager Philip Magese akiwa na Bob rudala na Deo mwanambilimbi.
 Clara Moita akiwa na Deo Mwanambilimbi na Bob Rudala.


No comments:

Post a Comment