ADVERTS

LOGO

Search This Blog

Thursday, September 20, 2012

PRESENTER AND DJ SEARCH ARUSHA!





Hapa ni siku  mbili kabla ya shindano ambapo washiriki wote walikuwa katika studio za radio 5 wakijifunza mabo mbali mbali.....


SIKU YA SHOW




Hawa ni baadhi ya washiriki wa shindano la Radio 5 Presenter search  wakijifua kabla ya kuanza kwa mchujo wa awali.....




Maandalizi yalikuwa yakiendelea kwa washiriki waliokuwa wakielekezwa namna ya kutumia studio ndogo na mzee wa mwongozo...Willy  Cosmas...Huku Goodluck  Kisanga na Dj King Davy wakiongoza maandalizi ya burudani.
Jimmy Mtemi meneja wa Radio 5 akizungumza  na wageni wakati wa ufunguzi
Huyu ni Dj King akifanya mambo kidigitali zaidi
Mama Afrika kulia..Mzee Estomih Malla(chief Judge) na Ones Mo,...ndio waliokuwa wakiongoza panel ya majaji.
Upande mwingine kulikuwa na Erick Lupiana sambamba na meneja wa Tripple A  Bori.
Mwangaza jummanne na Tonie Kaisoi, Semio Sonyo wakiwa na mgeni wao Mr C kutoka  Mj Fm....
Hawa ni baadhi ya washiriki wakiwa makini kufuatilia shindano...



Burudani ilikuwa sehemu ya shindano na hapa jamaa anajulikana  kama Shuba Akishambulia Jukwaa.


Friday, September 7, 2012

NI KAWAIDA KWETU KUTEMBELEWA NA WAGENI

 Wanamuziki wa Kalunde Band hapa ni Bob Rudala na deo mwana mbilimbi wakiwa katika viwanja vya radio 5
 Meneja masoko wa Radio 5 Sarah  Lazaro(katikati) akiwa na Deo mwanambilimbi na  Bob rudala


 Huyu ndiye Deo Mwanambilimbi mwenye jezi ya Tanzania akiwa na Meneja masoko wa Radio 5.
 Sarah Lazaro akiwa na Bob Rudala aliyewahi kutamba na sjingo ya nimekuchagua wewe.
 David Rwenyagira akiwa na Bob rudala na Deo mwanambilimbi.
 Program Manager Philip Magese akiwa na Bob rudala na Deo mwanambilimbi.
 Clara Moita akiwa na Deo Mwanambilimbi na Bob Rudala.