ADVERTS

LOGO

Search This Blog

Tuesday, August 21, 2012

WAZIRI MKUU ETHIOPIA AFARIKI

Waziri mkuu wa Ethiopia Meles Zenawi Amefaariki dunia asbuhi ya leo akiwa na umri wa miaka 57.Aliyekuwa naibu wake ndiye atakayekaimu nafasi hiyo....Endelea kusikilza radio 5fm kwa taarifa zaidi na kufatilia blog hii kwa historia ya zenawi.

Friday, August 10, 2012

RADIO 5 YASHINDA NANE NANE KASKAZINI

 Katika maonesho ya wakulima yaliyofikia  kilele  tarehe  nane mwezi wa nane zilishiriki taasisi   nyingi...lakini radio 5 iliibuka mshindi kwa taasisi zote za binafsi na serikali zilizoshiriki....Pichani wafanyakazi wakiwa na kombe mara baada ya kutangazwa washindi na waziri mkuu Mh.Mizengo Pinda.
 Charles  Mayomi akiweka mitambo sawa wakati wa shuhuli za ufunguzi wa sherehe hizo.

 Mara baada ya kutangazwa washindi...Pichani ni David Rwenyagira akiwa habarisha Live wanannchi juu ya kilichokuwa kinaendelea huko themi.
Wafanyakazi wa radio 5wakiwa na kombe la ushindi kutoka kushoto ni  Deo    G,Tonnie Kaisoi,Pili Sirikwa ,Sarah Lazaro,Semio Sonyo,Ashura Mohamed,Charles Mayomi na David Rwenyagira
Semio Sonyo akitangaza  wakati wa maonesho hayo.